Maombolezo 3:25 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 25 Yehova ni mwema kwa ule mwenye anamutumainia,+ kwa mutu mwenye anaendelea* kumutafuta.+ Mika 7:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Lakini mimi, nitaendelea kumungojea Yehova.+ Nitaonyesha mutazamo wa kumungojea* Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+
7 Lakini mimi, nitaendelea kumungojea Yehova.+ Nitaonyesha mutazamo wa kumungojea* Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+