2 mufalme akamuambia nabii Natani:+ “Angalia, mimi ninaishi katika nyumba ya mierezi+ wakati Sanduku la Mungu wa kweli linakaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+ 3 Natani akamujibu mufalme: “Uende na ufanye jambo lolote lenye kuwa katika moyo wako, kwa maana Yehova iko pamoja na wewe.”+