-
1 Wafalme 8:17Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
17 Na ilikuwa tamaa ya moyo wa baba yangu Daudi kujenga nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wa Israeli.+
-
-
1 Mambo ya Nyakati 15:3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Kisha Daudi akakusanya Israeli wote Yerusalemu ili kupandisha Sanduku la Yehova mupaka mahali kwenye alikuwa amelitayarishia.+
-
-
1 Mambo ya Nyakati 15:12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
12 na akawaambia: “Ninyi ndio vichwa vya jamaa za upande wa baba za Walawi. Mujitakase, ninyi na ndugu zenu, na mupandishe Sanduku la Yehova Mungu wa Israeli mupaka mahali kwenye nimelitayarishia.
-
-
Matendo 7:45, 46Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
45 Na mababu zetu walilipokea kuwa uriti na wakalileta pamoja na Yoshua katika inchi yenye ilikuwa mali ya mataifa,+ yenye Mungu alifukuza kutoka mbele ya mababu zetu.+ Lilibakia hapa mupaka siku za Daudi. 46 Alikubaliwa mbele ya macho ya Mungu na akaomba pendeleo la kujenga makao kwa ajili ya Mungu wa Yakobo.+
-