Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 9:33
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 33 Hao ndio walikuwa waimbaji, vichwa vya jamaa za upande wa baba za Walawi katika vyumba,* wale wenye hawakupangwa kufanya kazi; kwa maana walikuwa na daraka la kuwa kwenye kazi usiku na muchana.

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:27
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 27 Kwa maana kulingana na maagizo ya mwisho ya Daudi, Walawi wenye miaka kuanzia makumi mbili (20) kuenda juu walihesabiwa.

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:30
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 30 Walipaswa kusimama kila asubui+ ili kumushukuru na kumusifu Yehova na walipaswa kufanya vilevile mangaribi.+

  • Luka 2:37
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 37 na sasa alikuwa mujane mwenye miaka makumi munane na ine (84). Hakukuwa anakosekana hata kidogo katika hekalu, akitoa utumishi mutakatifu usiku na muchana kwa kufunga na kutoa sala za kumulilia Mungu.*

  • Ufunuo 7:15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Ndiyo sababu wako mbele ya kile kiti cha ufalme cha Mungu, na wanamutolea utumishi mutakatifu muchana na usiku katika hekalu lake; na Ule mwenye kukaa kwenye kiti cha ufalme+ atatandika hema yake juu yao.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine