-
1 Mambo ya Nyakati 9:33Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
33 Hao ndio walikuwa waimbaji, vichwa vya jamaa za upande wa baba za Walawi katika vyumba,* wale wenye hawakupangwa kufanya kazi; kwa maana walikuwa na daraka la kuwa kwenye kazi usiku na muchana.
-
-
1 Mambo ya Nyakati 23:27Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
27 Kwa maana kulingana na maagizo ya mwisho ya Daudi, Walawi wenye miaka kuanzia makumi mbili (20) kuenda juu walihesabiwa.
-