-
Yeremia 49:7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 Kwa ajili ya Edomu, Yehova wa majeshi anasema hivi:
“Je, hakuna tena hekima yoyote katika Temani?+
Je, shauri la muzuri limeangamia kutoka kwa wale wenye kuwa na uelewaji?
Je, hekima yao imeoza?
-
-
Ezekieli 25:12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
12 “Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: ‘Edomu amelipiza kisasi juu ya nyumba ya Yuda na amekuwa na hatia kubwa kwa kulipiza kisasi juu yao;+
-
-
Obadia 10-13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya