Yobu 26:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Kaburi* liko uchi mbele ya Mungu,*+Na mahali pa uharibifu hapajafunikwa.* Mezali 15:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Kaburi* na mahali pa uharibifu* viko wazi kabisa mbele ya macho ya Yehova.+ Namna gani mioyo ya wanadamu!+
11 Kaburi* na mahali pa uharibifu* viko wazi kabisa mbele ya macho ya Yehova.+ Namna gani mioyo ya wanadamu!+