Waroma 3:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 “Koo yao ni kaburi lenye kuwa wazi, wamedanganya kwa ulimi wao.”+ “Sumu ya nyoka iko nyuma ya midomo yao.”+ Yakobo 3:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Lakini hakuna mwanadamu mwenye anaweza kufuga ulimi. Ulimi ni kitu kigumu kuzuia na chenye kuumiza, umejaa sumu yenye kuua.+
13 “Koo yao ni kaburi lenye kuwa wazi, wamedanganya kwa ulimi wao.”+ “Sumu ya nyoka iko nyuma ya midomo yao.”+
8 Lakini hakuna mwanadamu mwenye anaweza kufuga ulimi. Ulimi ni kitu kigumu kuzuia na chenye kuumiza, umejaa sumu yenye kuua.+