1 Samweli 17:37 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 37 Kisha Daudi akaongeza: “Yehova, mwenye aliniokoa kutoka katika makucha ya simba na ya dubu, ndiye ataniokoa kutoka katika mukono wa Mufilisti huyu.”+ Basi Sauli akamuambia Daudi: “Uende, na Yehova akuwe pamoja na wewe.”
37 Kisha Daudi akaongeza: “Yehova, mwenye aliniokoa kutoka katika makucha ya simba na ya dubu, ndiye ataniokoa kutoka katika mukono wa Mufilisti huyu.”+ Basi Sauli akamuambia Daudi: “Uende, na Yehova akuwe pamoja na wewe.”