-
2 Samweli 7:8, 9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Sasa ambia hivi mutumishi wangu Daudi, ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Nilikutosha katika malisho, ili usiendelee kufuata kundi,+ ili ukuwe kiongozi juu ya watu wangu Israeli.+ 9 Na nitakuwa pamoja na wewe kila mahali kwenye utaenda,+ na nitaharibu* maadui wako wote kutoka mbele yako;+ na nitakufanyia jina kubwa+ kama jina la watu wakubwa wa dunia.
-