4“Kwa maana angalia! siku inakuja, yenye kuwaka kama tanuru,+ na wale wote wenye kimbelembele na wote wenye kutenda uovu watakuwa kama majani yenye kukauka. Siku hiyo yenye kuja itawameza,” ni vile Yehova wa majeshi anasema, “na haitawaachia muzizi wala tawi.