-
Yeremia 17:7, 8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 Amebarikiwa mutu* mwenye anaweka tegemeo lake katika Yehova,
Mwenye uhakika wake uko katika Yehova.+
8 Atakuwa kama muti wenye ulipandwa pembeni ya maji,
Wenye unapeleka mizizi yake kwenye muto mudogo.
Hatatambua wakati joto linakuja,
Lakini majani yake yatakuwa mengi sikuzote.+
Na katika mwaka wa ukame hatahangaika,
Wala hataacha kuzaa matunda.
-