Zaburi 38:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Lakini kama kiziwi, sikukuwa ninawasikiliza;+Na kama bubu, sikukuwa ninafungua kinywa changu.+ Matayo 27:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Lakini, wakati wakubwa wa makuhani na wazee walikuwa wanamushitaki, hakujibu.+ 1 Petro 2:23 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 Wakati alikuwa anatukanwa,+ hakujibu kwa matukano.+ Wakati alikuwa anateseka,+ hakuogopesha watu, lakini alijitia katika mikono ya Ule mwenye anahukumu+ kwa haki.
23 Wakati alikuwa anatukanwa,+ hakujibu kwa matukano.+ Wakati alikuwa anateseka,+ hakuogopesha watu, lakini alijitia katika mikono ya Ule mwenye anahukumu+ kwa haki.