-
Muhubiri 2:18, 19Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
18 Nilifikia kuchukia kazi yote ya nguvu yenye nilikuwa nimefanya chini ya jua,+ kwa sababu ni lazima niiachie ule mwenye atakuja kisha mimi.+ 19 Na ni nani anajua kama atakuwa mwenye hekima ao mupumbavu?+ Lakini atasimamia vitu vyote vyenye nilitumia nguvu na hekima nyingi ili kuvipata chini ya jua. Jambo hilo pia ni bure.*
-
-
Muhubiri 4:8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Kuko mutu mwenye kuwa peke yake; hana rafiki; hana mwana wala ndugu, lakini kazi yake yote ya nguvu haina mwisho. Macho yake hayashibake utajiri.+ Lakini hajiulizake, ‘Ninafanya kazi hii yote ya nguvu na kujiima mambo ya muzuri kwa ajili ya nani’?+ Jambo hili pia ni bure* na ni lenye kuhuzunisha.+
-