Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 49:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Anaona kwamba hata watu wenye hekima wanakufaka;

      Wajinga na wenye hawana akili wanapotea pamoja,+

      Na wanalazimika kuachia wengine mali zao.+

  • Muhubiri 2:18, 19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Nilifikia kuchukia kazi yote ya nguvu yenye nilikuwa nimefanya chini ya jua,+ kwa sababu ni lazima niiachie ule mwenye atakuja kisha mimi.+ 19 Na ni nani anajua kama atakuwa mwenye hekima ao mupumbavu?+ Lakini atasimamia vitu vyote vyenye nilitumia nguvu na hekima nyingi ili kuvipata chini ya jua. Jambo hilo pia ni bure.*

  • Muhubiri 4:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Kuko mutu mwenye kuwa peke yake; hana rafiki; hana mwana wala ndugu, lakini kazi yake yote ya nguvu haina mwisho. Macho yake hayashibake utajiri.+ Lakini hajiulizake, ‘Ninafanya kazi hii yote ya nguvu na kujiima mambo ya muzuri kwa ajili ya nani’?+ Jambo hili pia ni bure* na ni lenye kuhuzunisha.+

  • Luka 12:19, 20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 na nitaambia nafsi yangu: “Uko na* vitu vingi vya muzuri vyenye vimekusanywa kwa ajili ya miaka mingi; tulia, kula, kunywa, na ujifurahishe.”’ 20 Lakini Mungu akamuambia, ‘Wewe pumbavu, usiku huu wanataka uzima wako.* Basi, vitu vyenye ulikusanya vitakuwa vya nani?’+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine