-
Isaya 63:11-13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Na walikumbuka siku za zamani,
Siku za Musa mutumishi wake:
“Iko* wapi Ule mwenye aliwapandisha kutoka katika bahari+ pamoja na wachungaji wa kundi lake?+
Iko* wapi Ule mwenye alitia ndani yake roho Yake takatifu,+
12 Ule mwenye alifanya mukono Wake wenye utukufu uende pamoja na mukono wa kuume wa Musa;+
Ule mwenye aligawanya maji mbele yao+
Ili kujifanyia jina la milele,+
13 Ule mwenye aliwafanya watembee katika maji yenye mawimbi makubwa,*
Na hivyo wakatembea bila kujikwaa,
Kama farasi katika inchi yenye kuwa wazi?*
-