Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Isaya 63:11-13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Na walikumbuka siku za zamani,

      Siku za Musa mutumishi wake:

      “Iko* wapi Ule mwenye aliwapandisha kutoka katika bahari+ pamoja na wachungaji wa kundi lake?+

      Iko* wapi Ule mwenye alitia ndani yake roho Yake takatifu,+

      12 Ule mwenye alifanya mukono Wake wenye utukufu uende pamoja na mukono wa kuume wa Musa;+

      Ule mwenye aligawanya maji mbele yao+

      Ili kujifanyia jina la milele,+

      13 Ule mwenye aliwafanya watembee katika maji yenye mawimbi makubwa,*

      Na hivyo wakatembea bila kujikwaa,

      Kama farasi katika inchi yenye kuwa wazi?*

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine