-
Kumbukumbu la Torati 7:7, 8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 “Yehova hakuwaonyesha upendo na kuwachagua kwa sababu mulikuwa wengi sana kuliko vikundi vyote vya watu,+ kwa maana mulikuwa taifa la kidogo sana kati ya vikundi vyote vya watu.+ 8 Lakini, ni kwa sababu Yehova anawapenda na kwa sababu alishika kiapo chenye aliapia mababu zenu+ ndiyo maana Yehova aliwatosha kwa mukono wake wenye nguvu, ili kuwakomboa kutoka katika nyumba ya utumwa,+ kutoka katika mamlaka* ya Farao mufalme wa Misri.
-