20 nitangoa Israeli kutoka katika inchi yenye nimewapatia,+ na nyumba hii yenye nimetakasa kwa ajili ya jina langu nitaitupilia mbali kutoka mbele ya macho yangu, na nitaifanya kuwa kitu cha kuzarauliwa na kitu cha kuchekelewa kati ya vikundi vyote vya watu.+