Zaburi 48:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Katika minara yake yenye ngome,Mungu amejulisha kwamba yeye ni kimbilio salama.*+ Zaburi 125:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Kama vile milima inazunguka Yerusalemu,+Ni vile Yehova anazunguka watu wake+Kuanzia sasa na milele.
2 Kama vile milima inazunguka Yerusalemu,+Ni vile Yehova anazunguka watu wake+Kuanzia sasa na milele.