29 Wewe ni mwenye furaha, Ee Israeli!+
Ni nani mwenye kuwa kama wewe,+
Kikundi cha watu wenye kufurahia wokovu wa Yehova,+
Ngao yako yenye kukulinda+
Na upanga wako wenye utukufu?
Maadui wako watajikunja kwa woga mbele yako,+
Na utakanyanga kwenye migongo yao.”