-
Yeremia 7:22, 23Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
22 Kwa maana katika siku yenye nilitosha mababu zenu katika inchi ya Misri, sikusema nao ao kuwaamuru juu ya matoleo mazima ya kuteketezwa na zabihu.+ 23 Lakini niliwapatia amri hii: “Mutii sauti yangu, na nitakuwa Mungu wenu, na ninyi mutakuwa watu wangu.+ Munapaswa kutembea katika njia yote yenye ninaamuru, ili mambo yakuwe muzuri kwenu.”’+
-