Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 15:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Basi Samweli akasema: “Je, Yehova anapendezwa na matoleo ya kuteketezwa na zabihu+ sawasawa na kutii sauti ya Yehova? Angalia! Kutii ni muzuri kuliko zabihu,+ na kusikiliza kwa uangalifu kuliko mafuta+ ya kondoo-dume;

  • Isaya 1:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 “Zabihu zenu nyingi ziko na faida gani kwangu?”+ ni vile Yehova anasema.

      “Nimechoka na matoleo yenu ya kuteketezwa ya kondoo-dume+ na mafuta ya wanyama wenye kukulishwa muzuri,+

      Na sifurahie damu+ ya ngombe-dume wadogo+ na wana-kondoo na mbuzi.+

  • Yeremia 7:22, 23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Kwa maana katika siku yenye nilitosha mababu zenu katika inchi ya Misri, sikusema nao ao kuwaamuru juu ya matoleo mazima ya kuteketezwa na zabihu.+ 23 Lakini niliwapatia amri hii: “Mutii sauti yangu, na nitakuwa Mungu wenu, na ninyi mutakuwa watu wangu.+ Munapaswa kutembea katika njia yote yenye ninaamuru, ili mambo yakuwe muzuri kwenu.”’+

  • Hosea 6:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mushikamanifu,* hapana zabihu,

      Na ujuzi wa Mungu kuliko matoleo mazima ya kuteketezwa.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine