Zaburi 39:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Kwa kweli, umefanya siku zangu zikuwe kidogo tu;*+Na urefu wa maisha yangu hauko kitu mbele yako.+ Hakika kila mwanadamu, hata kama anaonekana kuwa salama, haiko kitu lakini pumuzi tu.+ (Sela) Waroma 8:20 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 Kwa maana uumbaji ulitiishwa chini ya maisha yenye hayana maana,*+ hapana kwa mapenzi yake wenyewe lakini kupitia ule mwenye aliutiisha, kwa musingi wa tumaini
5 Kwa kweli, umefanya siku zangu zikuwe kidogo tu;*+Na urefu wa maisha yangu hauko kitu mbele yako.+ Hakika kila mwanadamu, hata kama anaonekana kuwa salama, haiko kitu lakini pumuzi tu.+ (Sela)
20 Kwa maana uumbaji ulitiishwa chini ya maisha yenye hayana maana,*+ hapana kwa mapenzi yake wenyewe lakini kupitia ule mwenye aliutiisha, kwa musingi wa tumaini