27 Musifanye kazi kwa ajili ya chakula chenye kinaharibikaka, lakini mufanye kazi kwa ajili ya chakula chenye kinadumu kwa ajili ya uzima wa milele,+ chenye Mwana wa binadamu atawapatia; kwa maana Baba, Mungu mwenyewe, amemutia muhuri wake wa kumukubali.”+