2 “Nimelala, lakini moyo wangu uko macho.+
Kuko sauti ya mupenzi wangu akipiga hodi!
‘Unifungulie, Ee dada yangu, mupenzi wangu,
Njiwa wangu, wangu mwenye hana kasoro!
Kwa maana kichwa changu kimelowana umande,
Mashungi ya nywele zangu yamejaa umajimaji wa usiku.’+