Isaya 18:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Kwa maana mbele ya mavuno,Wakati ua linakamilika na kuwa zabibu yenye kukomaa,Machipukizi yake yatakatwa kwa miunduVikonyo* vitakatwa na kuondolewa. Yohana 15:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Anatosha ndani yangu kila tawi lenye halizae matunda, na anasafisha kila tawi lenye linazaa matunda, ili lizae matunda zaidi.+
5 Kwa maana mbele ya mavuno,Wakati ua linakamilika na kuwa zabibu yenye kukomaa,Machipukizi yake yatakatwa kwa miunduVikonyo* vitakatwa na kuondolewa.
2 Anatosha ndani yangu kila tawi lenye halizae matunda, na anasafisha kila tawi lenye linazaa matunda, ili lizae matunda zaidi.+