-
2 Mambo ya Nyakati 1:16, 17Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
16 Farasi wa Sulemani waliletwa kutoka Misri,+ na wafanyabiashara wa mufalme walikuwa wanapata makundi ya farasi* kwa bei moja.+ 17 Kila gari lenye lililetwa kutoka Misri lilinunuliwa kwa vipande mia sita (600) vya feza, na farasi mumoja alinunuliwa kwa vipande mia moja makumi tano (150); kisha walikuwa wanaviuzisha kwa wafalme wote wa Wahiti na wafalme wa Siria.
-