Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 10:28
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 28 Farasi wa Sulemani waliletwa kutoka Misri, na wafanyabiashara wa mufalme walikuwa wanapata makundi ya farasi* kwa bei moja.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 1:16, 17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Farasi wa Sulemani waliletwa kutoka Misri,+ na wafanyabiashara wa mufalme walikuwa wanapata makundi ya farasi* kwa bei moja.+ 17 Kila gari lenye lililetwa kutoka Misri lilinunuliwa kwa vipande mia sita (600) vya feza, na farasi mumoja alinunuliwa kwa vipande mia moja makumi tano (150); kisha walikuwa wanaviuzisha kwa wafalme wote wa Wahiti na wafalme wa Siria.

  • Wimbo wa Sulemani 6:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  4 “Uko mwenye sura na umbo ya muzuri kama Tirza,*+ mupendwa wangu,+

      Unapendeza kama Yerusalemu,+

      Unashangaza kama majeshi yenye kukusanyika kuzunguka bendera zao.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine