-
Kutoka 30:23Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
23 “Kisha, kamata marashi ya muzuri sana: vipimo mia tano (500) vya manemane yenye kuganda, vipimo mia mbili makumi tano (250) vya mudalasini wenye harufu ya muzuri, vipimo mia mbili makumi tano vya kane yenye harufu ya muzuri,
-
-
Esta 2:12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
12 Kila kijana mwanamuke alikuwa na wakati wake wa kuingia kwa Mufalme Ahasuero kisha kumaliza miezi kumi na mbili (12) yenye ilipangwa kwa ajili ya wanamuke ili wapewe vitu vya kuwafanya kuwa wenye umbo na sura ya muzuri, kwa maana ni vile walipaswa kumaliza kipindi chao cha kupewa vitu vya kuwafanya kuwa wenye sura na umbo ya muzuri*—miezi sita (6) ya mafuta ya manemane+ na miezi sita ya mafuta ya zeri+ na mafuta mbalimbali yenye marashi ili kuwafanya kuwa wenye sura na umbo ya muzuri.*
-
-
Zaburi 45:8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Nguo zako zote zimetiwa marashi ya manemane na udi na kida;
Kutoka katika nyumba kubwa ya kifalme yenye kujengwa kwa pembe za tembo, vyombo vya kamba vinakufanya ushangilie.
-