-
2 Mambo ya Nyakati 36:20, 21Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
20 Akakamata mateka wale wenye waliponyoka upanga na kuwapeleka Babiloni,+ na wakakuwa watumishi wake+ na wa wana wake mupaka wakati ufalme wa Uajemi ulianza* kutawala,+ 21 ili kutimiza neno la Yehova lenye lilisemwa na Yeremia,+ mupaka wakati inchi ilikuwa imelipa sabato zake.+ Siku zote zenye iliachwa ukiwa ilishika sabato, ili kutimiza miaka makumi saba (70).+
-