4 ‘Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: “Angalia, ninageuza juu yenu silaha za vita zenye kuwa katika mikono yenu wenyewe, zenye munatumia ili kupigana na mufalme wa Babiloni+ na Wakaldayo wenye kuwa inje ya ukuta wenye wanawazunguka ninyi kwa ajili ya vita. Na nitawakusanya katikati ya muji huu.