Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:9, 10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Akateketeza kabisa nyumba ya Yehova kwa moto,+ nyumba ya mufalme,+ na nyumba zote za Yerusalemu;+ akateketeza pia kwa moto nyumba ya kila mutu wa maana.+ 10 Na kuta zenye kuzunguka Yerusalemu zilibomolewa kabisa na jeshi lote la Wakaldayo lenye lilikuwa pamoja na mukubwa wa walinzi.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Basi akamuleta mufalme wa Wakaldayo+ ili awashambulie, mwenye aliua wanaume wao vijana kwa upanga+ katika nyumba ya patakatifu pao;+ hakusikilia huruma kijana mwanaume wala bikira, muzee wala muzaifu.+ Mungu alitia kila kitu katika mukono wake.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Akateketeza nyumba ya Mungu wa kweli,+ akabomoa ukuta wa Yerusalemu,+ akateketeza kwa moto minara yake yote yenye ngome, na kuharibu kila kitu chenye samani.+

  • Maombolezo 4:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Yehova ameonyesha kasirani yake kali;

      Amemwanga hasira yake yenye kuwaka.+

      Na anawasha katika Sayuni moto wenye unateketeza misingi yake.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine