6 Kisha wakamukamata mufalme+ na kumuleta mupaka kwa mufalme wa Babiloni kule Ribla, na wakamuhukumu. 7 Wakaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake; kisha Nebukadneza akapofusha macho ya Sedekia, akamufunga kwa pingu za shaba, na akamupeleka Babiloni.+