Ezekieli 17:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 “‘“Kama vile hakika ninaishi,” ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema, “atakufa kule Babiloni, mahali kwenye mufalme* mwenye alimufanya yeye* kuwa mufalme anaishi, ule mwenye alizarau kiapo chake na mwenye alivunja agano lake.+
16 “‘“Kama vile hakika ninaishi,” ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema, “atakufa kule Babiloni, mahali kwenye mufalme* mwenye alimufanya yeye* kuwa mufalme anaishi, ule mwenye alizarau kiapo chake na mwenye alivunja agano lake.+