-
Mambo ya Walawi 25:39-42Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
39 “‘Kama ndugu yako mwenye anaishi karibu na wewe anakuwa maskini na analazimika kujiuzisha kwako,+ haupaswe kumulazimisha akutumikie kama mutumwa.+ 40 Unapaswa kumutendea kama mufanyakazi wa kulipwa,+ kama muhamiaji. Atakutumikia mupaka mwaka wa Yubile. 41 Kisha atakuacha, yeye na watoto* wake, na kurudia kwa watu wa jamaa yake. Anapaswa kurudia kwenye uriti wa mababu zake.+ 42 Kwa maana wao ni watumwa wangu wenye nilitosha katika inchi ya Misri.+ Hawapaswe kujiuzisha kama vile mutumwa anauzishwa.
-
-
Kumbukumbu la Torati 15:12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
12 “Kama mumoja wa ndugu zako, mwanaume ao mwanamuke Mwebrania, anauzishwa kwako na amekutumikia miaka sita (6), basi katika mwaka wa saba (7) unapaswa kumuachilia huru.+
-