Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 21:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 “Kama unanunua mutumwa Mwebrania,+ atafanya kazi ya utumwa kwa miaka sita (6), lakini mwaka wa saba (7), atawekwa huru bila kulipa kitu.+

  • Mambo ya Walawi 25:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Munapaswa kutakasa mwaka wa makumi tano (50) na kutangaza uhuru katika inchi kwa ajili ya wakaaji wake wote.+ Itakuwa Yubile kwenu, na kila mumoja wenu atarudia kwenye uriti wake na kila mumoja wenu atarudia katika familia yake.+

  • Mambo ya Walawi 25:39-42
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 39 “‘Kama ndugu yako mwenye anaishi karibu na wewe anakuwa maskini na analazimika kujiuzisha kwako,+ haupaswe kumulazimisha akutumikie kama mutumwa.+ 40 Unapaswa kumutendea kama mufanyakazi wa kulipwa,+ kama muhamiaji. Atakutumikia mupaka mwaka wa Yubile. 41 Kisha atakuacha, yeye na watoto* wake, na kurudia kwa watu wa jamaa yake. Anapaswa kurudia kwenye uriti wa mababu zake.+ 42 Kwa maana wao ni watumwa wangu wenye nilitosha katika inchi ya Misri.+ Hawapaswe kujiuzisha kama vile mutumwa anauzishwa.

  • Kumbukumbu la Torati 15:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 “Kama mumoja wa ndugu zako, mwanaume ao mwanamuke Mwebrania, anauzishwa kwako na amekutumikia miaka sita (6), basi katika mwaka wa saba (7) unapaswa kumuachilia huru.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine