-
Mwanzo 15:10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
10 Kwa hiyo akakamata hao wote na kuwakata vipande mbili na akaweka kila kipande kikiwa chenye kuangaliana na kingine,* lakini hakukata ndege hao.
-
-
Mwanzo 15:17Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
17 Wakati jua lilikuwa limeshuka na giza kubwa kuja, tanuru yenye kutoa moshi ikatokea, na mwenge wa moto ukapita katikati ya vile vipande.
-