Mambo ya Walawi 26:33 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 33 Na nitawasambaza kati ya mataifa,+ na nitachomoa upanga na ninyi mutakimbizwa;+ na inchi yenu itakuwa ukiwa,+ na miji yenu itaharibiwa. Yeremia 44:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Mumeona musiba wote wenye nilileta juu ya Yerusalemu+ na juu ya miji yote ya Yuda, na leo imekuwa mabomoko, bila mukaaji.+
33 Na nitawasambaza kati ya mataifa,+ na nitachomoa upanga na ninyi mutakimbizwa;+ na inchi yenu itakuwa ukiwa,+ na miji yenu itaharibiwa.
2 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Mumeona musiba wote wenye nilileta juu ya Yerusalemu+ na juu ya miji yote ya Yuda, na leo imekuwa mabomoko, bila mukaaji.+