-
Yeremia 42:1, 2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
42 Kisha wakubwa wote wa jeshi, na Yohanani+ mwana wa Karea, Yezania mwana wa Hoshaya, na watu wote, kuanzia mudogo zaidi mupaka mukubwa zaidi, wakakaribia 2 na kumuambia Yeremia nabii: “Tafazali, sikia ombi letu la kuomba rehema, na usali kwa ajili yetu kwa Yehova Mungu wako, kwa ajili ya mabaki hawa wote, kwa maana kati ya watu wengi ni watu kidogo tu ndio walibakia,+ kama vile unaona.
-