-
Yeremia 41:2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 Ishmaeli mwana wa Netania na wale watu kumi (10) wenye walikuwa pamoja naye wakasimama na kumupiga na kumuua Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani kwa upanga. Kwa hiyo akamuua mutu mwenye mufalme wa Babiloni alikuwa ameweka juu ya inchi.
-