Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 40:11, 12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Na Wayahudi wote wenye walikuwa katika Moabu, Amoni, na Edomu, na pia wale wenye walikuwa katika inchi zingine zote, wakasikia pia kama mufalme wa Babiloni alikuwa ameacha mabaki katika Yuda na kama alikuwa ameweka juu yao Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani. 12 Basi Wayahudi wote wakaanza kurudia kutoka kila mahali kwenye walikuwa wametawanywa, na wakakuja katika inchi ya Yuda, kwa Gedalia kule Mispa. Na wakakusanya divai na matunda ya kipindi cha joto kwa wingi sana.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine