Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 7:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Wana wanakusanya kuni, baba wanawasha moto, na bibi wanaponda unga ili kumutengenezea Malkia wa Mbinguni* keki za zabihu,+ na wanamwangia miungu mingine matoleo ya kinywaji ili kunikasirisha.+

  • Yeremia 44:15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Wanaume wote wenye walijua kwamba bibi zao walikuwa wanatolea miungu mingine zabihu na bibi wote wenye walikuwa wamesimama pale, wenye walifanyiza kikundi kikubwa, na watu wote wenye walikuwa wanaishi katika inchi ya Misri,+ katika Patrosi,+ wakamujibu Yeremia:

  • Yeremia 44:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Tofauti na hilo, hakika tutafanya kila neno lenye vinywa vyetu vimesema, kutoa zabihu kwa Malkia wa Mbinguni* na kumumiminia matoleo ya kinywaji,+ kama vile sisi, mababu zetu, wafalme wetu, na wakubwa wetu walifanya katika miji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu wakati tulikuwa tumeshiba mukate na tulikuwa na hali ya muzuri, wakati hatukuona musiba wowote.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine