Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 25:15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli ameniambia hivi: “Kamata kikombe hiki cha divai ya kasirani kali kutoka katika mukono wangu, na ufanye mataifa yote yenye ninakutuma kwao yakikunywe.

  • Yeremia 25:19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 kisha Farao mufalme wa Misri na watumishi wake, wakubwa wake, na watu wake wote,+

  • Ezekieli 29:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 “Mwana wa binadamu, elekeza uso wako kwa Farao mufalme wa Misri, na utoe unabii juu yake na juu ya Misri yote.+

  • Ezekieli 32:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 “Mwana wa binadamu, imba wimbo wa huzuni* kuhusu Farao mufalme wa Misri, na umuambie,

      ‘Ulikuwa kama mwana-simba* mwenye nguvu wa mataifa,

      Lakini umenyamazishwa.

      Ulikuwa kama munyama mukubwa wa bahari,+ ukijigeuza-geuza katika mito yako,

      Ukivuruga maji kwa miguu yako na kuchafua mito.’*

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine