-
Yeremia 25:15Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
15 Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli ameniambia hivi: “Kamata kikombe hiki cha divai ya kasirani kali kutoka katika mukono wangu, na ufanye mataifa yote yenye ninakutuma kwao yakikunywe.
-
-
Yeremia 25:19Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
19 kisha Farao mufalme wa Misri na watumishi wake, wakubwa wake, na watu wake wote,+
-
-
Ezekieli 29:2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 “Mwana wa binadamu, elekeza uso wako kwa Farao mufalme wa Misri, na utoe unabii juu yake na juu ya Misri yote.+
-