-
Isaya 66:19Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
19 “Nitatia alama kati yao, na wamoja kati ya wale wenye waliponyoka, nitawatuma kwenye mataifa haya: Tarshishi,+ Pulu, na Ludi,+ wale wenye wanakokota upinde, Tubali na Yavani,+ na visiwa vya mbali sana—wenye hawajasikia habari juu yangu wala kuona utukufu wangu; na watatangaza utukufu wangu kati ya mataifa.+
-