Mwanzo 37:25 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 25 Kisha wakakaa ili wakule chakula. Wakati waliinua macho, kulikuwa musururu wa Waishmaeli+ wenye ulikuwa unatoka Gileadi. Ngamia wao walibeba ubani mweusi, zeri, na ngozi ya muti yenye utomvu,+ na walikuwa wanaenda Misri. Yeremia 8:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Je, hakuna zeri* katika Gileadi?+ Ao, je, hakuna muponyaji* kule?+ Sababu gani binti ya watu wangu hakuponyeshwa?+
25 Kisha wakakaa ili wakule chakula. Wakati waliinua macho, kulikuwa musururu wa Waishmaeli+ wenye ulikuwa unatoka Gileadi. Ngamia wao walibeba ubani mweusi, zeri, na ngozi ya muti yenye utomvu,+ na walikuwa wanaenda Misri.
22 Je, hakuna zeri* katika Gileadi?+ Ao, je, hakuna muponyaji* kule?+ Sababu gani binti ya watu wangu hakuponyeshwa?+