44Neno lenye lilikuja kwa Yeremia kwa ajili ya Wayahudi wote wenye walikuwa wanaishi katika inchi ya Misri,+ wale wenye walikuwa wanaishi kule Migdoli,+ Tahpanhesi,+ Nofu,*+ na inchi ya Patrosi,+ na kusema:
10 Kwa hiyo nitapigana na wewe na Muto wako Nile, nitafanya inchi ya Misri kuwa mahali kwenye kumeharibiwa na kwenye kukauka, eneo lenye kuwa ukiwa,+ kuanzia Migdoli+ kufikia Sewene+ kwenye mupaka wa Etiopia.