-
Yeremia 25:17Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
17 Basi nikakamata kile kikombe katika mukono wa Yehova na kufanya mataifa yote yenye Yehova alinituma kwao yakunywe:+
-
-
Ezekieli 25:15, 16Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
15 “Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu ya chuki yao yenye kuendelea, Wafilisti wametafuta kwa nia ya mubaya* kuleta kisasi na uharibifu.+ 16 Kwa hiyo, Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: “Angalia, ninanyoosha mukono wangu juu ya Wafilisti,+ na nitaondoa Wakereti+ wasikuwe tena na nitaharibu wakaaji wenye kubakia wa eneo la pembeni ya bahari.+
-
-
Amosi 1:6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Yehova anasema hivi:
-
-
Sefania 2:4Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
4 Kwa maana Gaza itakuwa muji wenye umeachwa;
Na Ashkeloni itaachwa ukiwa.+
-