Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 25:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Basi nikakamata kile kikombe katika mukono wa Yehova na kufanya mataifa yote yenye Yehova alinituma kwao yakunywe:+

  • Yeremia 25:20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 na watu wote wa mataifa mbalimbali wenye kuchangamana nao; wafalme wote wa inchi ya Usi; wafalme wote wa inchi ya Wafilisti,+ Ashkeloni,+ Gaza, Ekroni, na wenye kubakia wa Ashdodi;

  • Ezekieli 25:15, 16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 “Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu ya chuki yao yenye kuendelea, Wafilisti wametafuta kwa nia ya mubaya* kuleta kisasi na uharibifu.+ 16 Kwa hiyo, Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: “Angalia, ninanyoosha mukono wangu juu ya Wafilisti,+ na nitaondoa Wakereti+ wasikuwe tena na nitaharibu wakaaji wenye kubakia wa eneo la pembeni ya bahari.+

  • Amosi 1:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  6 Yehova anasema hivi:

      ‘“Kwa sababu Gaza ameasi mara tatu (3),+ na kwa sababu ameasi mara ine (4), sitabadilisha hilo,

      Kwa maana walikamata kikundi chote cha watu wenye walihamishwa+ ili kuwatia katika mukono wa Edomu.

  • Sefania 2:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  4 Kwa maana Gaza itakuwa muji wenye umeachwa;

      Na Ashkeloni itaachwa ukiwa.+

      Ashdodi itafukuzwa wakati wa muchana,*

      Na Ekroni itangolewa.+

  • Zekaria 9:5, 6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  5 Ashkeloni itaona jambo hilo na itaogopa;

      Gaza itasikia uchungu mukubwa,

      Ekroni pia, kwa sababu tumaini lake limepatishwa haya.

      Mufalme ataangamia kutoka Gaza,

      Na Ashkeloni haitakuwa na wakaaji.+

       6 Na mwana-haramu atakaa katika Ashdodi,

      Na nitamaliza kiburi cha Wafilisti.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine