-
Amosi 1:9, 10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Yehova anasema hivi:
‘Kwa sababu Tiro ameasi+ mara tatu (3), na kwa sababu ameasi mara ine (4), sitabadilisha hilo,
Kwa sababu walitia kikundi chote cha watu wenye walihamishwa katika mukono wa Edomu,
Na kwa sababu hawakukumbuka agano la ndugu.+
10 Kwa hiyo nitatuma moto juu ya ukuta wa Tiro,
Na utateketeza minara yake yenye ngome.’+
-