-
Sefania 2:9, 10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Kwa hiyo, kama vile hakika ninaishi,” ni vile Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema,
“Moabu itakuwa kama vile Sodoma,+
Na Waamoni kama Gomora,+
Mahali kwenye mimea yenye kuwasha, shimo la chumvi, na eneo lenye limeachwa sikuzote.+
Watu wangu wenye walibakia watanyanganya vitu vyao,
Na mabaki ya taifa langu watawariti.
10 Hii ndiyo watapata pa nafasi ya kiburi chao,+
Kwa sababu walichokoza watu wa Yehova wa majeshi na kujiinua juu yao.
-