Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Isaya 16:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  6 Tumesikia kuhusu kiburi cha Moabu⁠—​iko* na kiburi sana+⁠—

      Majivuno yake na kiburi chake na kasirani yake kali;+

      Lakini maneno yake yenye hayana maana yataisha.

  • Isaya 25:10, 11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Kwa maana mukono wa Yehova utatulia kwenye mulima huu,+

      Na Moabu atakanyangwa-kanyangwa katika mahali pake+

      Kama jani lenye kukanyangwa-kanyangwa katika rundo la mbolea.

      11 Atapiga-piga mikono yake ndani ya Moabu

      Kama vile muogeleaji anapiga-piga mikono yake ili kuogelea,

      Na atashusha majivuno yake+

      Kwa kupiga-piga mikono yake kwa ufundi.

  • Sefania 2:9, 10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  9 Kwa hiyo, kama vile hakika ninaishi,” ni vile Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema,

      “Moabu itakuwa kama vile Sodoma,+

      Na Waamoni kama Gomora,+

      Mahali kwenye mimea yenye kuwasha, shimo la chumvi, na eneo lenye limeachwa sikuzote.+

      Watu wangu wenye walibakia watanyanganya vitu vyao,

      Na mabaki ya taifa langu watawariti.

      10 Hii ndiyo watapata pa nafasi ya kiburi chao,+

      Kwa sababu walichokoza watu wa Yehova wa majeshi na kujiinua juu yao.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine