Hesabu 24:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Nitamuona, lakini hapana sasa;Nitamuangalia, lakini hapana sasa hivi. Nyota+ itatoka katika Yakobo,Na fimbo ya ufalme+ itainuka katika Israeli.+ Na hakika atapasua paji la uso la Moabu+Na mufupa wa kichwa wa wana wote wa fujo. Amosi 2:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Kwa hiyo nitatuma moto katika Moabu, na utateketeza minara yenye ngome ya Kerioti;+Moabu atakufa katika makelele,Kutakuwa makelele ya vita na sauti ya baragumu.+
17 Nitamuona, lakini hapana sasa;Nitamuangalia, lakini hapana sasa hivi. Nyota+ itatoka katika Yakobo,Na fimbo ya ufalme+ itainuka katika Israeli.+ Na hakika atapasua paji la uso la Moabu+Na mufupa wa kichwa wa wana wote wa fujo.
2 Kwa hiyo nitatuma moto katika Moabu, na utateketeza minara yenye ngome ya Kerioti;+Moabu atakufa katika makelele,Kutakuwa makelele ya vita na sauti ya baragumu.+