-
Yeremia 50:8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 “Mukimbie kutoka katikati ya Babiloni,
Mutoke katika inchi ya Wakaldayo,+
Na mukuwe kama wanyama wenye kuongoza mbele ya kundi.
-
-
Zekaria 2:7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 “Kuja, Sayuni! Ponyoka, wewe mwenye kukaa pamoja na binti ya Babiloni.+
-