Isaya 21:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Angalia kile kinakuja: Wanaume katika gari la vita pamoja na kundi la farasi wa vita!”+ Kisha akasema kwa sauti kubwa: “Ameanguka! Babiloni ameanguka!+ Sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunja na kuziangusha chini!”+ Isaya 47:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Lakini mambo haya mbili yatakupata bila kutazamia, kwa siku moja:+ Kupoteza watoto na ujane. Yatakupata kwa kipimo kamili+Kwa sababu ya* ulozi wako mwingi na uchawi wako wote wenye nguvu.+ Ufunuo 14:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Na mwingine, malaika wa pili, akafuata, akisema: “Ameanguka! Babiloni Mukubwa+ ameanguka,+ ule mwenye alifanya mataifa yote yakunywe divai ya tamaa kubwa* ya uasherati* wake!”+
9 Angalia kile kinakuja: Wanaume katika gari la vita pamoja na kundi la farasi wa vita!”+ Kisha akasema kwa sauti kubwa: “Ameanguka! Babiloni ameanguka!+ Sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunja na kuziangusha chini!”+
9 Lakini mambo haya mbili yatakupata bila kutazamia, kwa siku moja:+ Kupoteza watoto na ujane. Yatakupata kwa kipimo kamili+Kwa sababu ya* ulozi wako mwingi na uchawi wako wote wenye nguvu.+
8 Na mwingine, malaika wa pili, akafuata, akisema: “Ameanguka! Babiloni Mukubwa+ ameanguka,+ ule mwenye alifanya mataifa yote yakunywe divai ya tamaa kubwa* ya uasherati* wake!”+