2 Wafalme 21:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Manase pia alimwanga damu nyingi sana yenye haina kosa mupaka wakati alijaza Yerusalemu kutoka mwisho mumoja mupaka mwisho mwingine,+ zaidi ya zambi yake ya kufanya Yuda watende zambi kwa kufanya mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova. Ezekieli 7:23 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 “‘Tengeneza munyororo,*+ kwa maana inchi imejaa hukumu yenye madoa ya damu+ na muji umejaa jeuri.+
16 Manase pia alimwanga damu nyingi sana yenye haina kosa mupaka wakati alijaza Yerusalemu kutoka mwisho mumoja mupaka mwisho mwingine,+ zaidi ya zambi yake ya kufanya Yuda watende zambi kwa kufanya mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova.
23 “‘Tengeneza munyororo,*+ kwa maana inchi imejaa hukumu yenye madoa ya damu+ na muji umejaa jeuri.+