Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Mufalme Nebukadneza wa Babiloni alikuja kwenye muji wakati watumishi wake walikuwa wanauzunguka kwa ajili ya vita.

  • 2 Wafalme 24:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Kisha akakamata kutoka pale hazina zote za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mufalme.+ Akakata vipande-vipande vyombo vyote vya zahabu vyenye Sulemani mufalme wa Israeli alikuwa ametengeneza katika hekalu la Yehova.+ Jambo hilo lilitokea kama vile Yehova alikuwa ametabiri.

  • Yeremia 27:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Na nikaambia makuhani na watu hawa wote: “Yehova anasema hivi: ‘Musisikilize maneno ya manabii wenu wenye wanawatolea ninyi unabii: “Muangalie! Karibuni vyombo vya nyumba ya Yehova vitarudishwa kutoka Babiloni!”+ kwa maana wanawatolea ninyi unabii wa uongo.+

  • Danieli 1:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Kisha wakati fulani Yehova akamutia Yehoyakimu Mufalme wa Yuda katika mukono wa Nebukadneza,+ pamoja na sehemu fulani ya vyombo vya nyumba ya * Mungu wa kweli, na akavileta katika inchi ya Shinari*+ katika nyumba ya * mungu wake. Akaweka vyombo hivyo katika hazina ya mungu wake.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine