Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Mufalme Yehoyakini wa Yuda akatoka inje kuenda kwa mufalme wa Babiloni,+ pamoja na mama yake, watumishi wake, wakubwa wake, na watu wenye cheo kwenye makao yake;+ na mufalme wa Babiloni akamukamata mateka katika mwaka wa munane (8) wa utawala wake.+

  • 2 Wafalme 24:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Akapeleka katika uhamisho Yerusalemu yote, wakubwa wote,+ wapiganaji-vita wote wenye nguvu, na kila fundi na kila mwenye kufua chuma*+⁠—alipeleka katika uhamisho watu elfu kumi (10 000). Hakuna mutu yeyote mwenye alibakia isipokuwa watu maskini sana wa inchi.+

  • Yeremia 24:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Kisha Yehova akanionyesha vitunga mbili vya tini vyenye viliwekwa mbele ya hekalu la Yehova, kisha Mufalme Nebukadneza* wa Babiloni kupeleka katika uhamisho Yekonia*+ mwana wa Yehoyakimu,+ mufalme wa Yuda, pamoja na wakubwa wa Yuda, mafundi, na mafundi wa vyuma;* aliwachukua kutoka Yerusalemu na kuwapeleka Babiloni.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine